HAWA HAPA MA ๐— ๐—ฉ๐—ฃ ๐˜„๐—ฎ ๐—”๐—™๐—–๐—ข๐—ก ๐—จ-17 KATIKA MASHINDANO MATANO YALIYOPITA.


✍️ Emmanuel Masuza 

Mwanakwetu Sports 

2017 alikuwa Lito Luvumbo wa Angola ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด na hivi sasa anacheza katika klabu ya RCD Mallorca ya Spain ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ.


2019 alikuwa Stive Mvoue wa Cameroon ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒ na hivi sasa anacheza katika klabu ya IK Start ya Norway ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ด.


2023 alikuwa Souleymane Alio wa Burkina Faso ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซ na hivi sasa anacheza katika klabu ya FC Nordsjรฆlland ya Denmark ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฐ 


2025 alikuwa Abdellah Ouzane wa Morocco ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ na hivi sasa anacheza katika klabu ya Ajax ya Netherlands ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ.


2026 ni Issa Mussa Chole wa Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ na kwa sasa anacheza pale Fountain Gates FC.


Je, Kuna uwezekano wa Chole kuelekea Ulaya kama ilivyokuwa kwa ma MVP wa misimu iliyopita..?

0/Post a Comment/Comments