EMMANUEL S. MASUZA
Mwanakwetu Sports
Anaitwa Julian Quinones Mchezaji wa timu ya taifa ya Mexico ameweka historia ya kuwa Mchezaji wa kwanza kufunga Goli katika Michuano ya Kombe la dunia mwaka huu
Quinones amefunga goli moja katika ushindi wa 2-0 waliopata Mexico dhidi ya Bafana Bafana, timu ya taifa ya Afrika Kusini
Ikumbukwe Michuano ya Kombe la duniani zinaandaa mataifa matatu ambayo ni MAREKANI, CANADA na MEXICO.
0718431472
emmasolomon825@gmail.com


Post a Comment