DROO KAMILI YA HATUA YA 16 BORA AFCON 2025

  

Timothy Lugembe,

Mwanakwetusports.

Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 yanaendelea kupamba moto baada ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kutangaza ratiba kamili ya michezo ya hatua ya 16 bora, Kwa mujibu wa ratiba hiyo, michezo ya hatua hii itaanza rasmi Januari 3, 2026 na itakamilika Januari 6, 2026.

Hatua ya 16 bora inatarajiwa kuleta ushindani mkali huku vigogo wa soka barani Afrika wakitarajia kupambana vikali kuwania nafasi ya kusonga mbele katika robo fainali.

Ratiba ya Michezo ya Hatua ya 16 Bora AFCON 2025

Januari 3, 2026

Saa 19:00 Senegal vs Sudan

Saa 22:00 Mali vs Tunisia

Januari 4, 2026

Saa 19:00 Morocco vs Tanzania

Saa 22:00 South Africa vs Cameroon

Januari 5, 2026

Saa 19:00 Egypt vs Benin

Saa 22:00 Nigeria vs Mozambique

Januari 6, 2026

Saa 19:00 Algeria vs DR Congo

Saa 22:00 Ivory coast vs Burkina Faso

Hatua ya 16 bora ya AFCON 2025 inatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa, ambapo kila timu itapambana kwa nguvu zote kuhakikisha inafuzu kwenda hatua ya robo fainali.


0767915473,

lugembetimothy01@gmail.com.


0/Post a Comment/Comments