Timothy Lugembe,
Mwanakwetusports.
Klabu ya Simba na nahodha wa kikosi hicho, Shomari Kapombe, wameondolewa rasmi kwenye kinyang’anyiro cha tuzo ya timu bora na Mchezaji bora wa Mashindano Afrika (CAF Interclub Player of the Year) 2025, hatua inayowafanya Wekundu wa Msimbazi kushindwa kuweka mwakilishi katika hatua ya mwisho ya tuzo hizo.
Wachezaji waliosalia kwenye tatu bora kuelekea kumpata mshindi ni
-Fiston Kalala Mayele – Pyramids FC
-Mohamed Chibi – Pyramids FC
-Oussama Lamlioui – RS Berkane
Hii inaonyesha wazi kuwa Pyramids FC imeweka nguvu kubwa msimu huu, kwa kuingiza wachezaji wawili, huku Berkane ikibaki na mwakilishi mmoja pekee.
Mayele Abeba Afrika Mashariki
Bado kuna mwanga kutoka ukanda wa Afrika Mashariki kupitia nyota wa DR Congo, Fiston Mayele, ambaye ndiye mchezaji pekee wa ukanda huo aliyesalia katika hatua ya mwisho.
Klabu zilizo salia ni
Mamelod -Afrika Kusini
Pyramid -Egypt
RS Berkane - Morocco
0767915473,
lugembetimothy01@gmail.com.
.jpg)

Post a Comment